This blog is created by ahmad mohamed for the purpose of sharing news and other related articals with his fellow tanzanians and other people in the whole world.So support him in keeping this blog into operation.
Sunday, November 27, 2011
UDOM
Ilikuwa ni furaha na nderemo siku ya ijumaa na jumamosi pale udom ilipofanya mahafali ya pili tangu kuanzishwa kwa chuo hicho,Hongera kwa wote waliotunukiwa stashahada mbalimbali siku hizo sasa ni jukumu la kila mmoja aliyetunukiwa stashahada kwenda kuitumikia jamii katika nafasi mbalimbali ili kuleta maendeleo katika jamii yetu ya watanzania.Hongereni sana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment