Sunday, November 27, 2011

UDOM



Ilikuwa ni furaha na nderemo siku ya ijumaa na jumamosi pale udom ilipofanya mahafali ya pili tangu kuanzishwa kwa chuo hicho,Hongera kwa wote waliotunukiwa stashahada mbalimbali siku hizo sasa ni jukumu la kila mmoja aliyetunukiwa stashahada kwenda kuitumikia jamii katika nafasi mbalimbali ili kuleta maendeleo katika jamii yetu ya watanzania.Hongereni sana

No comments:

Post a Comment