This blog is created by ahmad mohamed for the purpose of sharing news and other related articals with his fellow tanzanians and other people in the whole world.So support him in keeping this blog into operation.
Saturday, November 26, 2011
TANAZANIA
Ni kwa watanzania wote kwa ujumla tunatakiwa tutambue kwamba tupo katika swala muhimu la kupata katiba mpya itatoa taswira mpya ya maisha yetu ya sasa na ya baadae. Hivyo ni jukumu la kila mtanzania kushiriki katika kutoa maoni na kufanikisha swala zima la kupata katiba pasipo kumwaga damu au kuwa na utengano kati yetu sisi watanzania na pia tusikubali kufuata maoni mabovu na ya uchochezi ya chama chochote cha siasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment